Tanzania top singer Harmonize has fired back at his former boss Diamond Platnumz after mocking him following Rayavvny’s historic performance at MTV EMAs 2021.

Following Rayvanny's performance,  the WCB CEO congratulated the musician for the big achievement, however, taking a swipe at Harmonize for not being thankful.

“The first African artist to perform MTV EMAs Rayvanny... Niwakumbushe msanii wa kwanza Africa kuperform MTV EMAs anatokea Tanzania, mkoa wa Wasafi na sasa ni raisi wa Next Level Music

“Vijana wenzangu tujifunzeni kuwa na nidhamu na fadhila ili sanaa zetu zitufikishe mbali zaidi na tusiishie kwenye mihadarati," wrote Diamond. 

However, in a quick rejoinder, Harmonize clapped back at Diamond saying he is always being bitter whenever he fails to win an award.

He went on to allege that the WCB CEO uses hard drugs as opposed to him who only smokes, adding that the WCB CEO always buys his awards.

“Vijana Nivyema kujifunza ukimsaidia mtu sio lazima umdai fadhila. Maana kama ndio hivyo basi Tanzania yote inanidai. Pia ukishapokea mamillion ya shillingi 600 million ukishavutia unga yakiwa yanakaribia kuisha ni vyema kuyauliza au kutadai fadhila. Pia Vijana jitahidini kutofautisha kipi ni hatari katio ya mihadarati na huo unga unao kukondesha," Harmonize said in part.

He added that his former boss always hires people to insult him on social media yet he has been in the music industry for over 11 years.

"Vijana jitahidi kutofautisha kati ya wewe mwenye miaka 11 na wenye miaka 6, umefika wapi. Maana bar ni zile zile, kitchen party ni zile zile huku USA. Licha ya kuvimba kote mkiwa jiji la mama Samia

"Vijana nivyema kuendelea kuwalipa wakina mama Levo waendelee kutukana watu unaotaka wakuheshimi huku ukiamini watakufa kimziki bila kujua unawalipia promotion

“Vijana tujifunze kupost msani wako akitoa wimbo sio kuumia kwa kutolewa kwenye collabo na sio kutafuta pakutokea kupitia kijana mwenzio. Sio vizuri kaka. Mkishakosanga tuzo zisizo nunulika msikimbilie Ngada haraka…Rudini studio subirieni Afrima,” alleged Harmonize.